10 wageni wasipate kushibishwa kwa mali yako, na faida ya kazi yako kuishia katika nyumba ya mugeni.
Anayependa hekima anamufurahisha baba yake; lakini anayeandamana na kahaba anapoteza mali yake.
Usimalize nguvu zako kwa wanawake, usiwape mali yako wale wanaoangamiza wafalme.
Kwa mwisho wa maisha yako utaomboleza, wakati mwili wako utakapoangamizwa.
kusudi usiwape wengine heshima yako, na watenda mabaya miaka yako,
Mutu anapoteza kipande cha mukate kwa kahaba, lakini mwanamuke muzinzi atapoteza uzima wako wote.
Hatakubali malipo yoyote; wala kutulizwa na zawadi zako nyingi.
Wageni wamenyonya nguvu zake, wala yeye mwenyewe hajui; imvi zimejaa juu ya kichwa chake, lakini yeye mwenyewe hana habari.
Lakini mwana wako huyu aliyeharibu mali yako katika ukahaba alipofika, ukamuchinjia yule ngombe mwenye kunona!’