Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 5:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mwana wangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikie elimu yangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 5:1
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwana wangu, ukikubali maneno yangu, na kushika maagizo yangu,


Tega sikio usikie maneno ya wenye hekima; elekeza moyo wako kwa maarifa yangu.


Wana wangu, musikilize maadibisho ya baba yenu, mutege sikio mupate kuwa na akili.


Mwana wangu, sikia kwa uangalifu maneno yangu, utegee sikio masemi yangu.


Mwana wangu, shika amri za baba yako, wala usisahau mashauri ya mama yako;


nikawaona vijana wengi wajinga, na hasa mumoja aliyekuwa mupumbafu.


Musijifikiri kwamba munaweza kujidai tu kuwa Abrahamu ndiye babu yenu. Ninawaambia kwamba Mungu anaweza kugeuza mawe haya kuwa watoto wa Abrahamu!


Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”


Wandugu zangu wapendwa, mukumbuke neno hili: kila mutu anapaswa kuwa mwepesi kwa kusikia, lakini asikuwe mwepesi kwa kusema na kukasirika.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoambia makanisa! “Yule atakayeshinda hatapatwa na kifo cha pili.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda, nitamupa ile mana iliyofichwa. Na nitamupa vilevile jiwe dogo jeupe, na juu yake kumeandikwa jina jipya ambalo hakuna mutu yeyote anayelijua, isipokuwa tu yule anayelipewa.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa!


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda nitamupa ruhusa ya kula matunda ya muti wa uzima unaokuwa katika bustani ya Mungu!


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa.”


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ