Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 4:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Uyaelekeze macho yako mbele sawasawa, kope zako zipige sawasawa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 4:25
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nimejizuiza kabisa mimi mwenyewe, macho yangu yasimwangalie binti kwa tamaa.


Uniepushe nisifuate mambo ya ovyo; unionyeshe njia yako, unipe uzima.


Upumbafu ni furaha kwa mutu asiyekuwa na akili, lakini mwenye akili anachagua njia inayokuwa sawa.


Mutu mwovu anajionyesha kuwa hodari, lakini mutu wa usawa anafikiri vizuri juu ya mwenendo wake.


Macho yako yataona mambo ya ajabu, moyo wako utatoa mambo yaliyopotoka.


Macho yako yatakapokuwa yanaanza tu kuuona, nao utatoweka mara moja. Maana hakika utajiri unaota mabawa, unaruka na kutoweka katika anga kama tai.


Tenga mbali nawe luga potovu; wala midomo yako isiseme maneno madanganyifu.


Chunguza sana njia utakayopitia, na hatua zako zote zitakuwa kamili.


“Macho ni taa ya mwili. Kama macho yako yakiwa mazima, mwili wako wote utabaki katika mwangaza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ