Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 4:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Tenga mbali nawe luga potovu; wala midomo yako isiseme maneno madanganyifu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 4:24
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kama uovu uko katika mukono wako, uutupilie mbali. Usikubali ubaya ukuwe katika nyumba yako.


Basi, uache kusema mabaya, na kuepuka kusema uongo.


Midomo ya wenye haki inajua mambo yatakayokubaliwa, lakini vinywa vya waovu vinasema tu maovu.


Mwenye moyo mupotovu hafanikiwi, na musema uongo anapatwa na hasara.


Afazali masikini mwenye mwenendo mukamilifu kuliko mutu mupotovu wa maneno na mupumbafu.


Uyaelekeze macho yako mbele sawasawa, kope zako zipige sawasawa.


Mutu mwovu, mutu asiyefaa kitu, anatangatanga akisema maneno mapotovu.


Kumwogopa Yawe ni kuchukia uovu. Ninachukia kiburi, majivuno maisha mabaya, na luga mbaya.


Kinywa changu kitasema maneno ya haki, hakuna udanganyifu wala upotevu katika midomo yangu.


Mutupilie mbali zambi mulizonitendea; mujipatie moyo na roho mupya. Enyi Waisraeli, mutakufa kwa sababu gani?


Lakini sasa mutupilie mbali mambo haya yote: kasirani, chuki, uovu, masingiziano na musiseme neno lolote baya.


na magomvi yasiyokuwa na mwisho ya watu wenye akili iliyokwisha kupotoka hata wamesahau ukweli kabisa. Ndio wale wanaozani kwamba dini ni njia ya kupata utajiri.


Kwa sababu hiyo, mutupilie mbali mambo yote machafu na matendo ya uovu yanayozidi. Mupokee kwa unyenyekevu neno lile lililopandwa ndani yenu na linaloweza kuwaokoa.


Kama mutu akizani kwamba yeye ni mutu wa dini naye hawezi kuzuiza ulimi wake, anajidanganya mwenyewe, nayo dini yake haina faida.


Basi, mutupilie mbali matendo yote maovu na ya udanganyifu pamoja na wivu na masingizio ya kila namna.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ