21 Usiyaache yatoweke mbele ya macho, uyafunge ndani ya moyo wako.
Halafu nikasema: “Ninakuja. Katika kitabu imeandikwa juu yangu.
Mwana wangu, ukikubali maneno yangu, na kushika maagizo yangu,
Wewe utafurahi kama utayaweka ndani ya moyo, na kuyarudiliarudilia kila wakati.
Mwana wangu, usisahau mafundisho yangu, lakini kwa moyo wako ushike amri zangu.
Mwana wangu, shika hekima safi na akili; usiviache vitoweke mbele ya macho yako,
Wema na uaminifu zisitengane nawe. Uvifunge katika shingo lako; uviandike ndani ya moyo wako.
uyaweke siku zote ndani ya moyo, uyafunge katika shingo lako.
Uyafunge kwenye vidole vyako; uyaandike ndani ya moyo wako.
“Lakini mukuwe waangalifu na kufanya angalisho sana kusudi musisahau mambo yale muliyoona kwa macho yenu wenyewe, kusudi isitokee hata mara moja katika maisha yenu mambo hayo kusahaulika ndani ya mioyo yenu. Muwaelezee watoto wenu na wajukuu wenu