Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 4:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 4:19
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

wakipapasapapasa katika giza kusikokuwa mwangaza; na kuwafanya wapepesuke kama walevi.


Ameondolewa toka katika mwangaza, akatupwa katika giza; amefukuzwa mbali kutoka katika dunia.


Wao wanapatwa na giza wakati wa muchana; muchana kati wanapapasapapasa kama vile usiku.


“Lakini ninyi hamujui wala hamufahamu! Ninyi munatembea katika giza la upotovu! Misingi yote ya haki katika dunia imetikiswa!


watu wanaoacha njia zenye kunyooka kwa kufuata njia za giza,


Njia ya waovu imejaa miiba na mitego; anayetaka kulinda maisha yake ataiepuka.


Mumutukuze Yawe, Mungu wenu, mbele hajawaletea giza, mbele hamujajikwaa miguu kwenye milima inayofunikwa na giza. Ninyi mulitazamia mwangaza, lakini anaugeuza kuwa usiku anaufanya kuwa giza nzito.


Kwa hiyo njia zao zitakuwa zenye utelezi na giza, watajigonga na kuanguka; maana, nitaleta hasara juu yao mwaka wa kuwaazibu utakapotimia. –Ni ujumbe wa Yawe.


Muwaache! Wao ni vipofu, wanaongoza vipofu wengine. Na kama kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili wanatumbukia ndani ya shimo.”


Halafu mimi nitawaambia hivi waziwazi: ‘Sikuwajua ninyi hata siku moja. Mutoke karibu nami, ninyi watenda maovu.’


Lakini kama mutu akitembea usiku, anajikwaa, kwa sababu hana mwangaza ndani yake.”


Yesu akawaambia: “Mwangaza ungali kati yenu kwa muda kidogo. Mutembee wakati mungali na mwangaza, kusudi giza lisiwafunike, kwa sababu anayetembea katika giza hajui pahali anapokwenda.


Lakini anayemuchukia ndugu yake anaishi na kutembea katika giza, wala hajui pahali anapokwenda kwa sababu giza limemupofusha macho.


Anayalinda maisha ya waaminifu wake, lakini anaangamiza maisha ya waovu katika giza. Maana, mwanadamu hapati ushindi kwa nguvu zake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ