Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 4:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Epuka njia hiyo wala usiikaribie; ujiepushe nayo, uende zako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 4:15
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kama uovu uko katika mukono wako, uutupilie mbali. Usikubali ubaya ukuwe katika nyumba yako.


Ukimurudilia Mungu na kunyenyekea, ukiondoa uovu mbali na makao yako,


Ujitenge mbali na mashitaki ya uongo wala usiwaue wasiokuwa na kosa na wenye haki, maana mimi sitamusamehe mutu mwovu.


Wewe mwana wangu usiandamane nao, uzuie muguu wako usifuatane nao.


Usiwaonee wivu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao,


Usijiingize katika njia ya waovu, wala usifuate mwenendo wa watu wabaya.


Waovu hawalali hata kidogo wasipotenda uovu; hawapati usingizi wasipomukwaza mutu.


Uepushe njia yako mbali naye, wala usiukaribie mulango wa nyumba yake,


Ujiokoe kwa kujitoa katika mutego ule, ujiponyeshe kama vile paa au ndege anayemutoroka mwindaji.


Ni mutu anayekuwa hivi: anaishi kwa haki na kusema kwa usawa, anazarau kabisa utajiri wa unyanganyi, anakataa kupokea kituliro, hakubali hata kidogo kusikia mipango ya mauaji, wala hakubali macho yake yaone maovu.


Musishiriki katika matendo ya giza yasiyofaa, lakini muyafichue.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ