Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 4:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Ukitembea hatua zako hazitazuizwa, wala ukikimbia hautajikwaa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 4:12
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Umepanua njia yangu wala miguu yangu haikuteleza.


Wanaopenda sheria yako wana amani kubwa; hakuna kinachoweza kuwaangusha.


Nitaishi katika uhuru kamili, maana ninashugulika na kanuni zako.


Umenipa ngao yako ya wokovu na kuniimarisha kwa mukono wako wa kuume. Nimefanikiwa kwa sababu ulikubali kunisaidia.


Ukinisikiliza, utafahamu haki, usawa, na kufuata sheria ya Mungu; utafahamu kila njia nzuri.


Halafu utaweza kwenda zako kwa usalama, wala muguu wako hautajikwaa.


Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.


Yatakuongoza katika njia yako, yatakulinda wakati unapolala, yatakushauria unapoamuka.


Watarudi wakiwa wanatoa machozi, nami nitawaongoza nikiwafariji; nitawapitisha kando ya vijito vya maji, katika njia iliyonyooka ambamo hawatajikwaa; maana mimi nimekuwa baba wa Israeli, Efuraimu ni muzaliwa wangu wa kwanza.


Tena imeandikwa kwamba: “Jiwe lile ni la kukwalisha watu, nalo ni la kuwaangusha.” Wamejikwaa kwa sababu hawakuamini neno la Mungu, na hivi ndivyo walivyopanga kwa ajili yao tangu mwanzo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ