11 Nimekufundisha njia ya hekima, nimekuongoza katika njia ya usawa.
na kuirudishia nafsi yangu nguvu mupya. Ananiongoza katika njia sawa kwa utukufu wa jina lake.
Kwa hiyo utafuata mufano wa watu wazuri, na kufuata mienendo ya wenye haki.
Baba yangu alinifundisha hiki: “Shika kwa moyo maneno yangu, shika amri zangu nawe utaishi.
Ninatembea katika njia ya haki; ninafuata sheria ya Mungu.
Musikilize maana nitakachosema ni jambo la lazima; katika midomo yangu mutatoka mambo ya haki.
Kwa mutu mwenye ufahamu kila kitu ni wazi, kwa mwenye maarifa yote imesawanishwa.
Basi, zaidi ya kuwa na hekima yake, Muhubiri aliendelea kuwafundisha watu ujuzi. Alipima, akachunguza na kutia kwa usawa mezali kwa ufundi mwingi.
na kusema: “Wewe mutoto wa Shetani unayejaa udanganyifu na ukorofi wa kila namna! Wewe usiyependa kuona jambo la haki! Wewe hauchoki na kugeuza maneno ya ukweli ya Bwana!
“Muangalie! Nimewafundisha masharti na maagizo kama vile Yawe, Mungu wangu alivyoniamuru nifanye, kusudi muyashike katika inchi munayokwenda kuirizi.