Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 31:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Haifai, ee Lemueli, haifai wafalme kunywa divai, wala wakubwa kutamani vileo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 31:4
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Jemadari wake Simuri ambaye alisimamia nusu ya kundi ya magari yake ya vita alimwasi. Siku moja, mufalme Ela alipokuwa kule Tirza katika nyumba ya Arsa aliyekuwa musimamizi wa nyumba ya kifalme, alikunywa, akalewa.


Beni-Hadadi alipokea ujumbe huu wa Ahabu wakati yeye na wafalme waliomwunga mukono walipokuwa ndani ya mahema yao wakikunywa. Basi, akaweka waaskari wake tayari kwa kuushambulia muji ule.


Siku ya saba ya karamu hiyo, mufalme Ahasuero akiwa amejaa furaha kutokana na divai aliyokuwa amekunywa, akawaita matowashi saba waliomutumikia yeye mwenyewe: Mehumani, Bizita, Harbona, Bigita, Abagita, Zetari na Karkasi.


Kwa amri ya mufalme, tangazo hili lilitolewa katika muji mukubwa wa Susani, nao wajumbe wakalitangaza katika majimbo yote. Mufalme na Hamani wakaikaa chini kwa kunywa wakati watu katika muji wa Susani wanafazaika.


Divai inaleta mazarau na kileo kinaleta ugomvi; yeyote anayevutwa navyo hana hekima.


Utakuwa kama mutu anayelala katikati ya bahari, kama mutu anayelala juu ya mulingoti wa mashua.


Heri yako, ewe inchi, mutawala wako akiwa mutu wa heshima, na viongozi wako wakifanya karamu wakati unaofaa, kwa kujipatia nguvu na si kujilewesha.


Ole kwao wanaokuwa wafundi wa kunywa divai, wanaokuwa hodari sana wa kuchanganya vinywaji vya kulewesha.


Zaidi ya hayo, divai inapotosha; mutu mwenye kiburi hatadumu. Yuko tayari kuwameza wengine kama kuzimu; kama vile kifo, hatosheki na kitu. Anajikusanyia mataifa yote, na watu wote kama mali yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ