Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 30:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mimi ni mupumbafu sana, wala si mutu; sina akili ya mwanadamu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 30:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kimwezeshe aendelee kuishi siku zote, bila kuona kaburi.


nilikuwa mupumbafu na mujinga, nilikuwa kama nyama mbele yako.


Matendo yako, ee Yawe, ni makubwa sana! Mawazo yako hayatambulikani!


Anayependa mafundisho anapenda maarifa, lakini asiyependa kuonywa ni mujinga.


Maneno ya Aguri mwana wa Yake. Maneno ambayo mutu huyu alimwambia Itieli na Ukali.


Kwa hiyo utasema: “Kwa nini nilichukia mafundisho? Kwa nini nilizarau ndani ya moyo wangu?


Basi, mimi nikasema: Ole kwangu! Mimi nimeangamia, maana, midomo yangu ni michafu, na watu ninaoishi nao ni wenye midomo michafu. Hata hivyo, kwa macho yangu mwenyewe, nimemwona Mufalme, Yawe wa majeshi.


Mwanadamu ni mujinga na mupumbafu; kila mufua zahabu anafezeheshwa na sanamu zake. Sanamu hizo ni uongo mutupu, hazina uzima wowote ndani yao.


Wandugu zangu, sitaki mukose kujua siri hii, kusudi musijione kuwa wenye akili sana. Siri ile ni hii: Waisraeli wamoja wataendelea kuwa wagumu mpaka watu wa mataifa mengine kwa jumla watakapokuja kwa Mungu.


Mutu yeyote asijidanganye mwenyewe. Kama mutu fulani kati yenu akijizania kuwa mwenye hekima ya kidunia, ajifanye kama mupumbafu kusudi apate kuwa na hekima ya kweli.


Kama mutu anajizania kwamba anajua kitu, yeye hakijui hakika sawa vile inavyomupasa kukijua.


Kama mumoja kati yenu akikosa kuwa na hekima, aiombe kwa Mungu ambaye atamupatia. Kwa maana Mungu anawapa watu wote bila upendeleo na kwa moyo mwema.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ