Zaidi ya hayo, divai inapotosha; mutu mwenye kiburi hatadumu. Yuko tayari kuwameza wengine kama kuzimu; kama vile kifo, hatosheki na kitu. Anajikusanyia mataifa yote, na watu wote kama mali yake.
Kuzimu inawangoja kwa hamu kubwa, imepanua kinywa chake mpaka mwisho. Waheshimiwa pamoja na watu wengine wa Yerusalema wanaingia humo makundi kwa makundi, vilevile na wote wanaushangilia kwa furaha.