1 Maneno ya Aguri mwana wa Yake. Maneno ambayo mutu huyu alimwambia Itieli na Ukali.
Mwovu ni chukizo kwa mwenye haki, naye mwenye haki ni chukizo kwa mwovu.
Mimi ni mupumbafu sana, wala si mutu; sina akili ya mwanadamu.
Maneno ya mufalme Lemueli. Mashauri aliyopewa na mama yake: