31 Usimwonee wivu mutesaji, wala usiige mwenendo wake.
Zaburi ya Daudi. Usihangaike kwa sababu ya waovu; usiwaonee wivu wanaotenda mabaya.
maana niliwaonea wivu wenye kiburi, nilipoona wakosaji wakifanikiwa.
Matumaini ya waovu yanaporomoka na kuharibika, lakini mutu mwenye haki anasimama imara.
Moyo wako usiwaonee wivu wenye zambi, lakini endelea kumwogopa Yawe siku zote.
Usiwaonee wivu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao,
Faida ya mavuno ya inchi ni kwa watu wote, hata mufalme vilevile anatumainia mavuno yale.
chuki, uuaji, ulevi, ulafi, na mambo mengine yanayofanana na hayo. Ninawaonya tena kama vile nilivyowaonya mbele, kwamba watu wanaotenda mambo kama hayo hawatashiriki katika Ufalme wa Mungu.