Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 3:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Usigombane na mutu bila sababu, ikiwa hajakuzuru kwa lolote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 3:30
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sasa, wewe Amazia umewashinda kabisa Waedomu, na moyo wako unakufanya ujivune. Ufurahie utukufu wako, ukae katika nyumba yako; kwa nini kujitafutia taabu zitakazokuangamiza wewe mwenyewe pamoja na watu wako wa Yuda?”


Kuanzisha ugomvi ni kama kufungua maji ya kisima; achana na ugomvi mbele haujafurika.


Maneno ya mupumbafu yanaleta ugomvi; kila neno analosema linasababisha azabu.


Anayejiingiza katika ugomvi usiomwelekea, ni kama mutu anayeshika masikio ya imbwa anayepita.


Mwenye kasirani anachochea ugomvi, mutu wa hasira anasababisha makosa mengi.


Basi, mutumishi wa Bwana hapaswi kugombana. Anapaswa kuwa mupole kwa watu wote, anayejua kufundisha na muvumilivu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ