Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 3:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Usiogope juu ya tisho la rafla, wala shambulio kutoka kwa waovu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 3:25
22 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Haogopi habari mbaya; moyo wake unasimama imara na anamutegemea Yawe.


Wanaangamizwa kwa rafla, wateketezwe kabisa kwa vitisho.


Hautaogopa vitisho vya usiku, wala shambulio la rafla muchana.


Utaimarishwa katika haki, mbali na kaoneo, nawe hautaogopa kitu; mbali na hofu, maana haitakukaribia.


Kila mutu atakaa kwa amani chini ya miti ya tini na mizabibu yake, bila kutishwa na mutu yeyote. –Maneno haya yanatoka katika kinywa cha Yawe wa majeshi.


Mimi mwenyewe nitailinda inchi yangu, nitazuia majeshi yasipitepite ndani. Hakuna mutu atakayewatesa tena watu wangu, maana, kwa macho yangu mwenyewe, nimeona jinsi walivyoteseka.


“Mutamwona yeye anayeitwa ‘Chukizo Linaloleta Uharibifu,’ yule aliyetajwa na nabii Danieli, akisimamishwa katika hekalu. (Anayesoma maneno haya aelewe maana yake.)


Mutasikia habari za matokeo au utetezi wa vita, lakini musiogope. Sherti mambo hayo yatukie, lakini hayaonyeshi kama mwisho umefika.


Kisha Yesu akawaambia wanafunzi: “Sababu gani munaogopa? Mpaka sasa hamujakuwa na imani?”


Musiogope wakati mutakaposikia habari za vita na za mapinduzi. Sherti mambo hayo yatukie kwanza, lakini haionyeshi kwamba mwisho wa dunia unatimia palepale.”


Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Musifazaike; mumwamini Mungu, na muniamini mimi vilevile.


Hata mukiteswa kwa ajili ya haki, ninyi ni wenye heri. Musiwaogope watu, wala musihangaike.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ