Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 3:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Njia zake ni za kupendeza, zote zinaelekea kwenye amani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 3:17
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Haleluia! Heri mutu anayemuheshimu Yawe, anayefurahia sana kushika amri zake.


Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Ninafurahi kufuata maagizo yako, kuliko kuwa na utajiri mwingi.


Wanaopenda sheria yako wana amani kubwa; hakuna kinachoweza kuwaangusha.


Ninatamani sana uniokoe, ee Yawe; sheria yako ndiyo furaha yangu.


Furaha yangu ni kuzitii amri zako, ambazo mimi ninazipenda.


Njia zote za Yawe ni njema na za uaminifu kwa wale wanaoshika agano lake na maagizo yake.


Lakini wapole watarizi inchi, hao wataifurahia amani kamili.


Yawe akipendezwa na mwenendo wa mutu, anawageuza hata waadui zake kuwa warafiki.


Maana hekima itaingia ndani ya moyo wako, na maarifa yatapendeza nafsi yako.


Wewe utafurahi kama utayaweka ndani ya moyo, na kuyarudiliarudilia kila wakati.


Ee Mungu, unawaweka katika amani wanaokuwa imara, unawaweka katika amani kwa sababu wanakutegemea.


Mimi nitawapa amani, amani kwa wanaokuwa mbali na wanaokuwa karibu! –Ni Yawe anayesema hivyo.– Mimi nitawaponyesha.


Atawaangazia wale wanaoishi katika giza na wanaokaa katika kivuli cha kifo, kusudi atuongoze tupate kufuata njia ya amani.”


Sasa kufuatana na vile tumekwisha kuhesabiwa haki mbele ya Mungu kwa njia ya imani, kunakuwa sasa amani kati yetu na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ