Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 3:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Hekima ni bora kuliko feza, ina faida kuliko zahabu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 3:14
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maagizo yako ni urizi mukubwa kwangu milele; hayo ni furaha ya moyo wangu.


Ninafurahi kwa sababu ya neno lako, kama mutu aliyekuta kitu cha bei kali.


Sheria uliyoweka ni bora kwangu, kuliko mali zote za dunia.


Kupata hekima ni bora kuliko zahabu; kupata akili ni chaguo bora kuliko feza.


ukitafuta hekima kama feza, na kuitaka kama hazina iliyofichwa,


Matunda yangu ni mazuri kuliko zahabu safi, na faida yangu inashinda ya feza bora.


Hekima ni ya bei kubwa kama urizi; ni ya mafaa kwa wale wote wanaokuwa wazima.


Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake? Hakuna kitu mutu anachoweza kutoa kwa kukomboa uzima wake.


Kwa hiyo ninakushauria kununua kwangu zahabu iliyosafishwa kwa moto, kusudi upate kuwa tajiri. Vilevile ununue nguo nyeupe, upate kuvaa na kufunika uchi wako unaokuletea haya. Tena ununue dawa ya kutia ndani ya macho yako, kusudi upate kuona.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ