12 maana Yawe anaonya yule anayemupenda, kama vile baba anavyomwonya mwana wake mupenzi.
Kama vile baba anavyohurumia mwana wake, ndivyo Yawe anavyohurumia wote wanaomwabudu.
Heri mutu unayemwadibisha, ee Yawe, mutu unayefundisha sheria yako,
Asiyemwazibu mutoto wake hamupendi; lakini anayemupenda mwana wake atamwazibu kwa wakati.
Umwazibu mwana wako naye hatakupa wasiwasi; yeye atafurahisha moyo wako.
Mukumbuke kwamba Yawe, Mungu wenu, anawaazibu kama vile baba anavyoazibu mwana wake.
Kwa maana, Bwana anamwazibu yule anayemupenda, yeye anamupiga kila mutu anayemukubali kuwa mutu wake.”
Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.