Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 3:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mwana wangu, usisahau mafundisho yangu, lakini kwa moyo wako ushike amri zangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 3:1
31 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nimeshika neno lako ndani ya moyo wangu, kusudi nisikukosee.


Uangalie mateso yangu, uniokoe, kwa maana sikusahau sheria yako.


Ninafurahia masharti yako; sitasahau neno lako.


Ninatangatanga kama kondoo aliyepotea; ukuje kunitafuta mimi mutumishi wako, maana sikusahau amri zako.


Unieleweshe nipate kushika sheria yako, niifuate kwa moyo wangu wote.


Waovu wametega mitego waninase, lakini mimi sisahau sheria yako.


Sitasahau hata kidogo kanuni zako, maana kwa njia yao unanirudishia uzima.


Nitamupa maisha marefu, nitamujalia wokovu wangu.”


Lakini ninawatendea mema maelfu ya wale wanaonipenda na kushika amri zangu.


Mwana wangu, sikiliza mafundisho ya baba yako, wala usizarau mashauri ya mama yako;


Kuwa na imvi za uzee ni taji la utukufu; zinapatikana kwa maisha ya haki.


Mwana wangu, ukikubali maneno yangu, na kushika maagizo yangu,


Mwana wangu, unisikilize kwa uangalifu, ufuate mwenendo wa maisha yangu.


Wakikunywa watasahau maagizo ya sheria, na kuwanyima haki wenye taabu.


Maana ninawapa kanuni zuri, musikatae mafundisho yangu.


Usiyaache yatoweke mbele ya macho, uyafunge ndani ya moyo wako.


Ujipatie hekima, ujipatie ufahamu; usisahau wala kuzarau maneno yangu.


Musikilize! Hekima inaita! Akili inapiga kelele yake!


Hekima amejenga nyumba yake, nyumba yenye nguzo saba.


Amuka, ewe Yerusalema! Amuka usimame wima! Yawe amekukunywesha kikombe cha kasirani yake, nawe umekikunywa mpaka tone la mwisho, mpaka ukayumbayumba.


Kisha siku hizo, nitafanya agano hili na Waisraeli. Nitaiweka sheria yangu ndani yao, na kuiandika katika mioyo yao. Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. Ni mimi Yawe ninayesema hivyo.


Watu wangu wameangamia kwa kutonijua, maana wewe kuhani umekataa mafundisho. Nimekukataa kuwa kuhani wangu. Kwa maana umeisahau sheria ya Mungu wako, nami vilevile nitawasahau watoto wako.


Mufanye angalisho sana kusudi musisahau agano ambalo Yawe, Mungu wenu, amefanya nanyi. Musijifanyie sanamu ya kuchonga katika umbo la kitu chochote ambacho Yawe, Mungu wenu, amewakataza kumufananisha nacho,


“Lakini mukuwe waangalifu na kufanya angalisho sana kusudi musisahau mambo yale muliyoona kwa macho yenu wenyewe, kusudi isitokee hata mara moja katika maisha yenu mambo hayo kusahaulika ndani ya mioyo yenu. Muwaelezee watoto wenu na wajukuu wenu


“Uheshimu baba yako na mama yako, kama vile mimi Yawe, Mungu wako, nilivyokuamuru, kusudi uishi maisha marefu na kufanikiwa katika inchi ninayokupatia mimi Yawe, Mungu wako.


Mutafuata njia yote Yawe, Mungu wenu, aliyowaamuru kufuata kusudi mambo yenu yawaendekee vizuri na mupate kuishi muda murefu katika inchi mutakayotwaa ikuwe mali yenu.


“Mutakuwa waangalifu kwa kutenda amri zote ninazowapa leo, kusudi mupate kuishi na kuongezeka, na muingie na kuirizi inchi ile ambayo Yawe aliapa kuwapa babu zenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ