Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 28:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Anayekataa kuisikia sheria, yule, hata maombi yake, ni chukizo kwa Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 28:9
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anapohukumiwa apatikane na kosa; malalamiko yake yahesabiwe kuwa kosa lingine.


Kama ningalikusudia maovu ndani ya moyo, Yawe hangalinisikiliza.


Wewe hauwezi kushirikiana na waamuzi wapotovu, wanaotunga masharti za kutetea maovu.


Yawe hawaachi wenye haki wapate njaa, lakini anapinga tamaa za waovu.


Sadaka ya waovu ni chukizo kwa Yawe, lakini maombi ya watu wa usawa yanamufurahisha Mungu.


Anayekataa kusikia kilio cha masikini hatasikilizwa atakapolilia musaada.


Sadaka ya mwovu ni kitu cha kuchukiza sana. Inachukiza zaidi akiitoa kwa nia mbaya.


Hakika, ninyi si kitu kabisa. Hamuwezi kufanya kitu chochote. Anayechagua kuwaabudu ninyi ni chukizo.


Hata wakifunga, sitayasikiliza maombi yao, na hata wakinitolea sadaka za kuteketeza kwa moto na sadaka zingine, mimi sitazikubali. Lakini nitawaangamiza kwa vita, njaa na ugonjwa mukali.


Tunajua kwamba Mungu hasikilizi maombi ya wenye zambi, lakini anamusikiliza mutu yule anayemuheshimu na kufanya sawa anavyotaka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ