26 Kondoo watakupatia sufu kwa ajili ya nguo zako, mbuzi nao utawauzisha na kujinunulia mashamba;
nilimupa joto kwa nguo za manyoya ya kondoo wangu naye akanitakia baraka za shukrani ya moyo.
Nyuma ya kukata majani, wakati nyasi zinachipuka upya, kusanya majani toka kwenye milima.
watakupa maziwa ya kukutoshelea na jamaa yako, na kwa ajili ya wajakazi wako.
Waarabu na wakubwa wote wa inchi ya Kedari walikuwa wachuuzi wako wakubwa katika biashara ya wana-kondoo, kondoo dume na mbuzi.