Mezali 27:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200221 Zahabu na feza vinapimwa kwa moto, na mutu anapimwa kutokana na sifa zake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Majaribu hayo ni kwa ajili ya kupima imani yenu. Zahabu ni kitu kinachoharibika, lakini ingawa vile inapimwa kwa njia ya kuchomwa ndani ya moto. Hivi vilevile imani yenu inayokuwa ya bei kali kuliko zahabu, inapaswa kupimwa kusudi ijulikane kuwa ya kweli. Na kwa sababu hii mutapata sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atakapotokea.