19 Kama uso unavyojiona wenyewe katika maji, ndivyo mutu anavyojijua mwenyewe ndani ya moyo.
Yeye anaunda mioyo ya watu wote, yeye anajua kila kitu wanachofanya.
Kwa maana ni ndani ya mutu, ni kusema ndani ya moyo wake, ndimo munamotoka mawazo mabaya yanayoleta: uzinzi, wizi, uuaji,
Yawe alipoona uwingi wa uovu wa watu katika dunia, na kwamba kila kitu mwanadamu anachokusudia ndani ya moyo wake ni kiovu siku zote,
Anayetunza muti wa tini atakula matunda yake. Anayetumikia bwana wake ataheshimiwa.
Kuzimu na shimo la kuangamia havishibi hata kidogo, vilevile macho ya watu hayashibi.