13 Mutu akiahidi mbele yako kubeba muzigo wa mutu mwingine, unyanganye nguo yake; utwae rehani kwake maana amebeba muzigo wa mutu mwingine.
kwa sababu hiyo ndiyo nguo yake ya pekee; ndiyo atakayojifunika nayo. Au unazani atalalia nini? Akinililia nitamusikiliza, maana mimi ni mwenye huruma.
Anayejitoa kulipia mugeni deni yake atajuta, lakini anayechukia mapatano yale ana usalama.
Mutu akiahidi kumukopesha mutu asiyejulikana, unyanganye nguo yake kuwa rehani.
Mwenye akili anaona hatari na kujificha, lakini wajinga wanajitokeza mbele na kuumia.