Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 27:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Mwenye akili anaona hatari na kujificha, lakini wajinga wanajitokeza mbele na kuumia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 27:12
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Jina la Yawe ni munara imara; mwenye haki anaukimbilia na kuwa salama.


Mwenye akili anaona hatari na kujificha, lakini wajinga wanajitokeza mbele na kuumia.


Ukuwe na hekima, mwana wangu, upate kunifurahisha moyo, nami sitakosa neno la kumujibu mutu yeyote anayenizarau.


Mutu akiahidi mbele yako kubeba muzigo wa mutu mwingine, unyanganye nguo yake; utwae rehani kwake maana amebeba muzigo wa mutu mwingine.


Yoane alipoona Wafarisayo wengi na Wasadukayo wakimufikia kwa kubatizwa, aliwaambia: “Ninyi kikundi cha nyoka! Ni nani aliyewaambia kwamba munaweza kuponyoka azabu ya Mungu inayokaribia?


Kwa njia ya imani, Noa alionywa na Mungu juu ya mambo yatakayotokea, yale aliyokuwa hajayaona bado. Yeye alimutii Mungu na kujenga chombo kwa kujiokoa yeye mwenyewe pamoja na jamaa yake. Kutokana na hayo yote akahukumu dunia na kupokea haki inayopatikana kwa njia ya imani.


Basi kuna mambo mawili, ahadi na kiapo, yasiyoweza kubadilika, na kuelekea hayo, Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hivi, sisi tuliomukimbilia tunatiwa moyo sana na kushika kwa nguvu tumaini tulilowekewa.


Lakini kwa nguvu ya neno lile lile, mbingu na dunia za sasa zimewekwa akiba kwa kuteketezwa kwa moto. Zinalindwa kwa ajili ya Siku ile ambayo watu wabaya watahukumiwa na kuangamizwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ