Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 27:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Ukuwe na hekima, mwana wangu, upate kunifurahisha moyo, nami sitakosa neno la kumujibu mutu yeyote anayenizarau.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 27:11
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hapo nitaweza kuwajibu hao wanaonitukana, maana mimi ninatumainia neno lako.


Sasa, enyi wafalme, mutumie akili; musikilize onyo hili, enyi watawala wa dunia.


Hizi ni mezali za Solomono: Mutoto mwenye hekima ni furaha ya baba yake; lakini mutoto mupumbafu ni huzuni ya mama yake.


Mutoto mwenye hekima anamufurahisha baba yake, lakini mupumbafu anamuzarau mama yake.


Muvivu anajiona kuwa mwenye hekima kuliko watu saba wanaoweza kujibu kwa akili.


Mwenye akili anaona hatari na kujificha, lakini wajinga wanajitokeza mbele na kuumia.


Anayependa hekima anamufurahisha baba yake; lakini anayeandamana na kahaba anapoteza mali yake.


Ndugu, upendo wako umenifurahisha sana na kunifariji, kwa maana umetuliza mioyo ya watu wa Mungu.


Nilifurahi sana kuona kwamba wamoja kati ya watoto wako wanaishi katika ukweli kama vile Baba alivyotuamuru.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ