9 Mezali katika kinywa cha mupumbafu ni kama tawi lenye miiba katika mukono wa mulevi.
Utasema: “Nimepigwa, lakini sikuumia; wamenipondaponda, lakini sikusikia kitu. Nitaamuka saa gani kusudi nitafute kinywaji kingine?”
Mutu anayemulipa mupumbafu au mulevi kusudi amutumikie, ni kama mupiga upinde anayeumiza kila mutu.
Kumupa mupumbafu heshima ni kama kufunga jiwe kwenye mujeledi.