8 Kumupa mupumbafu heshima ni kama kufunga jiwe kwenye mujeledi.
Haifai kwa mupumbafu kuishi kwa raha; tena ni vibaya zaidi mutumwa kuwatawala wakubwa.
Heshima anayopewa mupumbafu haifai. Ni kama teluji ya wakati wa kipwa, au mvua ya wakati wa mavuno.
Mezali katika midomo ya mupumbafu ni kama miguu ya kiwete inayoninginia.
Mezali katika kinywa cha mupumbafu ni kama tawi lenye miiba katika mukono wa mulevi.
mutumwa anayekuwa mufalme; mupumbafu anayeshiba chakula;