Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 26:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Kama vile rangi yenye kungaa iliyopakwa juu ya chungu cha udongo, ndivyo maneno matamu yenye nia mbaya yanavyokuwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 26:23
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anayemuchukia mwingine kwa siri ni munafiki. Anayemusingizia mutu ni mupumbafu.


maana ndani ya moyo wake anahesabu unachokula. Atakuambia: “Kula, kunywa!” Lakini ndani ya moyo wake hayuko pamoja nawe.


Toa takataka katika feza, na mufuaji wa vyuma atakutengenezea chombo kizuri.


Akisema maneno mazuri usimwaminie. Ndani ya moyo wake kuna machukizo mengi.


Makaripio ya rafiki yanaonyesha uaminifu, lakini busu la adui ni udanganyifu.


Basi, wanakuja kwako makundi kwa makundi na kuikaa mbele yako kama watu wangu, kusudi wasikie unachosema, lakini hawafanyi unachowaambia wafanye. Wanasema kwamba wana upendo, lakini hayo ni kusema tu; wanachotafuta kwa moyo ni faida yao tu.


“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munafanana na makaburi yaliyopakaliwa chokaa, yanayoonekana kuwa mazuri kwa inje, lakini ndani yanajaa mifupa ya wafu na uchafu wa kila namna.


Halafu Bwana akamwambia: “Ninyi Wafarisayo ni kama mutu anayesafisha tu inje ya kikombe na sahani; lakini ndani yenu mumejaa tamaa ya wizi na uovu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ