17 Anayejiingiza katika ugomvi usiomwelekea, ni kama mutu anayeshika masikio ya imbwa anayepita.
Nia ya mutu mwovu ni kuasi tu; mujumbe mubaya atatumwa juu yake.
Maneno ya mupumbafu yanaleta ugomvi; kila neno analosema linasababisha azabu.
Ni jambo la heshima kuepuka ugomvi; wapumbafu ndio wanaogombana.
Kama vile mwenda-wazimu anavyotupa mienge ya moto, mishale, na kifo,
Usigombane na mutu bila sababu, ikiwa hajakuzuru kwa lolote.
Yesu akamujibu: “Ewe bwana, ni nani aliyeniweka kuwa mwamuzi wenu au mutu wa kuwagawanyia mali zenu?”