Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 26:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Anayejiingiza katika ugomvi usiomwelekea, ni kama mutu anayeshika masikio ya imbwa anayepita.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 26:17
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nia ya mutu mwovu ni kuasi tu; mujumbe mubaya atatumwa juu yake.


Maneno ya mupumbafu yanaleta ugomvi; kila neno analosema linasababisha azabu.


Ni jambo la heshima kuepuka ugomvi; wapumbafu ndio wanaogombana.


Kama vile mwenda-wazimu anavyotupa mienge ya moto, mishale, na kifo,


Usigombane na mutu bila sababu, ikiwa hajakuzuru kwa lolote.


Yesu akamujibu: “Ewe bwana, ni nani aliyeniweka kuwa mwamuzi wenu au mutu wa kuwagawanyia mali zenu?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ