15 Muvivu anatia mukono wake katika sahani, lakini anachoka kwa kuuinua mpaka kwenye mudomo.
Yawe akasikitika sana kwa kumwumba mwanadamu katika dunia. Yawe akahuzunika sana ndani ya moyo wake.
Muvivu anatia mukono wake katika sahani lakini hauinui mpaka kwenye midomo.