13 Muvivu anasema: “Kuna simba kali inje. Kuna simba katika njia.”
Njia ya muvivu inajaa miiba, lakini njia ya mutu wa usawa ni wazi kama barabara kubwa.
Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.
Muvivu anasema: “Kuna simba inje. Nitauawa katika njia.”
Ewe muvivu! Kwenda kuchunguza siafu, fikiri juu ya namna yake ya kuishi upate hekima.
Kwa hiyo niliogopa, nami nikaenda kuficha ile mali yako ndani ya udongo. Basi mali yako ndiyo hii, uitwae.’