10 Mutu anayemulipa mupumbafu au mulevi kusudi amutumikie, ni kama mupiga upinde anayeumiza kila mutu.
Ikiwa mwenye haki anapata malipo hapa katika dunia, hakika mwovu na mwenye zambi watalipwa!
Mupumbafu anayerudiliarudilia upumbafu wake ni kama imbwa anayekula matapiko yake.
Mezali katika kinywa cha mupumbafu ni kama tawi lenye miiba katika mukono wa mulevi.
Kwa maana Mungu atamulipa kila mutu kwa kadiri ya matendo yake.