Lakini, kama sivyo, moto utoke kwa Abimeleki na kuwateketeza wanainchi wa Sekemu na Beti-Milo, tena moto utoke kwa wanainchi wa Sekemu na Beti-Milo na kumuteketeza Abimeleki.”
Yotamu alipopata habari hiyo, alikwenda kusimama juu ya mulima Gerizimu, akasema kwa sauti kubwa: “Munisikilize, enyi watu wa Sekemu kama munataka Mungu awasikilize.