8 Anayefikiria kutenda maovu siku zote, ataitwa mutu mwenye fitina.
Mufalme aliendelea kumwambia Simei: “Unayajua wazi maovu uliyomutendea baba yangu Daudi. Sasa, kwa sababu ya hayo, Yawe atakuazibu.
Utawaangamiza wazao wao watoweke katika dunia; watoto wao hawatabaki kati ya wanadamu.
Anayepanga kutenda maovu kweli anakosa! Wanaopanga kutenda mazuri watapata mema na uaminifu.
maana mafikiri yao yote ni juu ya kutesa tu, nayo midomo yao inasema mabaya.
Mupango mupambafu anaofikiri ni zambi; mwenye kuzarau anachukiwa na kila mutu.
Akiwa amejaa mabaya ndani ya moyo, anatunga maovu. Anaamusha ugomvi kila pahali.
moyo unaopanga mipango miovu, miguu inayokuwa mbio kutenda maovu,
Matendo ya watu wadanganyifu ni mabaya; hao wanatunga maneno mabaya kwa kumwangamiza masikini kwa maneno ya uongo, hata kama masikini ni mwenye sheria.
Ndani yako kumetoka mumoja aliyepanga maovu juu ya Yawe. Huyu mutu anafanya shauri baya sana.
wasingiziaji, wenye kumuchukia Mungu, wenye kasirani, wenye kiburi na wenye kujivuna. Wao ni werevu kwa kutenda mabaya, hawatii wazazi wao,