Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 24:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kwa maarifa vyumba vyake vinajazwa vitu vya bei kali na vya kupendeza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 24:4
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kuhani, wa uzao wa Haruni atakuwa pamoja na Walawi wanapokea zaka. Halafu Walawi watapeleka sehemu moja ya kumi ya zaka zote zilizotolewa katika nyumba ya Mungu kwenye vyumba na gala.


Anapasua mifereji kati ya mawe makubwa, na jicho lake linaona mawe ya bei kali.


Katika nyumba ya mwenye haki kuna wingi wa mali, lakini mapato ya waovu yanaleta hasara.


Kuna zahabu na wingi wa mawe ya bei kali; lakini kitu cha bei kali zaidi ni maneno ya maarifa!


Katika nyumba ya mwenye hekima kuna hazina za bei kali, lakini mupumbafu anaponda mali yake yote.


Kuwa na hekima na maarifa ni bora kuliko kuwa na nguvu.


Utajiri na heshima viko kwangu, mali ya kudumu na fanaka.


Ninawatajirisha wale wanaonipenda, ninajaza tele hazina za wanaonipenda.


Kisha akawaambia: “Basi, kila mwalimu wa Sheria aliyefundishwa katika Ufalme wa mbinguni, anafanana na mwenye nyumba anayetwaa vitu vipya na vitu vya zamani pamoja toka katika akiba yake.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ