34 lakini kumbuka kwamba unapokuwa katika usingizi, umasikini utakufikia kama munyanganyi, ukosefu kama mutu mwenye silaha.
Uvivu unasababisha umasikini, lakini mukono wa mutu wa bidii unajitajirisha.
Muvivu anatamani lakini hapati kitu chochote, wakati mwenye bidii anajaliwa kwa wingi.
Mutu muvivu katika kazi yake ni ndugu ya muharibifu.
Lala tu kidogo, sinzia tu kidogo, kunja mikono yako tu upumzike,
Hizi nazo ni mezali nyingine za mufalme Solomono zilizoandikwa na watu wa Hezekia, mufalme wa Yuda.
Anayelima shamba lake atapata chakula kingi, lakini anayefuata mambo yasiyofaa atapata umasikini tele.
Unasema: “Acha nilale kidogo tu, acha nisinzie kidogo! Uniache nikunje mikono nipumzike kidogo!”
Wakati ule umasikini utakushambulia kama munyanganyi, ukosefu utakufuata kama mwizi mwenye silaha.