Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 24:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Niliangalia, nikawaza. Kwa mwisho nikapata fundisho:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 24:32
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwanadamu ni nini hata umujali? Kwa nini unajishugulisha naye


Mujue kwamba Yawe amejichagulia mutu wake wa haki. Yawe anasikia kila mara ninapomwomba.


niliona kwamba lilikuwa limeota miiba, majani yalikuwa yamefunika eneo lake lote, na ukuta wake wa mawe ulikuwa umebomoka.


Lala tu kidogo, sinzia tu kidogo, kunja mikono yako tu upumzike,


Lakini Maria akachunga mambo hayo yote ndani ya moyo na kuyafikiri sana.


Basi Yesu akarudia Nazareti pamoja nao, akaendelea kuwatii. Na mama yake alichunga maneno haya yote katika moyo wake.


Mambo haya yote yaliwafikia kusudi yakuwe mufano kwa watu wengine; yameandikwa kwa kutuonya sisi, kwa maana tunaishi katika kipindi cha mwisho wa nyakati.


Mambo hayo ni mufano kwetu, kusudi tusikuwe na tamaa mbaya kama vile wao.


Umupige mawe mpaka akufe, kwa sababu amejaribu kukuvuta mbali kutoka kwa Yawe, Mungu wako, ambaye alikutoa toka utumwa katika inchi ya Misri.


Hapo watu wa muji huo watamupiga mutoto huyo mawe mpaka akufe. Ndivyo mutakavyokomesha ubaya huo kati yenu. Kila mutu katika Israeli atasikia tukio hilo na kuogopa.


Wangekuwa na hekima wangejua kwa nini walishindwa, wangeweza kuelewa mwisho wao utakuwa namna gani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ