Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 24:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Nilipitia karibu na shamba la muvivu, ni kusema shamba la mizabibu la mutu mupumbafu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 24:30
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sasa unisikilize, nami nitakuonyesha, nitakuambia yale niliyoona,


Mimi nimeona kwamba wanaopanda uovu na ubaya wanavuna yaleyale.


Basi haya ndiyo mambo tuliyochunguza. Ni hivi tu. Uyasikie na kuyaelewa kwa faida yako.


Watu wa usawa wanapoona jambo hilo wanafurahi, lakini waovu wote wananyamazishwa.


Nilikuwa kijana na sasa mimi ni muzee; hata kidogo sijaona mutu wa haki ameachwa na Mungu, au watoto wake wakiombaomba chakula.


Katika kinywa cha mwenye ufahamu kuna hekima, lakini wasiokuwa na akili watapigwa fimbo katika mugongo.


Mulimaji mwenye bidii ana chakula tele, lakini anayefuata mambo yasiyofaa hana akili.


Muvivu anatamani lakini hapati kitu chochote, wakati mwenye bidii anajaliwa kwa wingi.


Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.


Kutokana na uvivu wa mutu, paa ya nyumba inaanguka; kwa sababu ya uregevu, nyumba inavuja.


Katika maisha yangu ya bure, niliona kila kitu. Mutu wa haki anakufa ingawa ni wa haki, ambapo mutu mwovu anaendelea kuishi maisha marefu ingawa ni mwovu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ