Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 24:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 maana mafikiri yao yote ni juu ya kutesa tu, nayo midomo yao inasema mabaya.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 24:2
21 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wanatunga udanganyifu na kuzaa uovu. Mioyo yao inapanga udanganyifu.


Kinywa chake kimejaa laana, udanganyifu na ukorofi; ni mwepesi kusema maneno ya kuchukiza na maovu.


Ee Yawe, uniokoe na watu wabaya, unikinge na watesaji wakali.


Usiniazibu pamoja na watu wabaya, wale watenda maovu wanaosema vizuri na wenzao, kumbe wanajaa ubaya ndani ya moyo.


Kila anachosema ni uovu na uongo; ameacha kutumia hekima na kutenda mema.


Warafiki na wenzangu wanaepuka kuona mateso yangu, na wandugu zangu wanakaa mbali nami.


Atatayarisha silaha zake za hatari, na kuitia mishale yake moto.


Mwana wangu, usikubali kushawishiwa na wenye zambi.


Anayefikiria kutenda maovu siku zote, ataitwa mutu mwenye fitina.


Akiwa amejaa mabaya ndani ya moyo, anatunga maovu. Anaamusha ugomvi kila pahali.


moyo unaopanga mipango miovu, miguu inayokuwa mbio kutenda maovu,


Kwa hiyo Mungu, Mutakatifu wa Israeli, anasema hivi: Ninyi mumeukataa ujumbe wangu; mukatumainia kutenda mabaya na kutengeneza udanganyifu.


Hakuna anayemushitaki mwenzake kwa haki, wala anayejitetea kwa ukweli. Munategemea mambo ya bure; munasema uongo. Munafanya mipango ya kuleta hasara na kuzaa uovu.


Lakini macho yako wewe na moyo wako, vinaelekea tu mapato yasiyokuwa ya haki. Unamwanga damu ya wasiokuwa na kosa, nawe unawatesa watu na kuwatendea kwa ukali.


Wote ni wafundi wa kutenda maovu; waongozi na waamuzi wanaomba kituliro. Wakubwa wanaonyesha wazi nia zao mbaya, nao wanashirikiana pamoja kwa kuzitimiza.


na kusema: “Wewe mutoto wa Shetani unayejaa udanganyifu na ukorofi wa kila namna! Wewe usiyependa kuona jambo la haki! Wewe hauchoki na kugeuza maneno ya ukweli ya Bwana!


Daudi aliposikia mipango miovu ya Saulo juu yake, akamwambia kuhani Abiatari: “Ulete hapa kile kizibao cha kuhani.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ