Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 24:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Ndivyo hekima itakavyokuwa katika nafsi yako; ukiipata, siku nzuri zitakuja na tumaini lako halitakuwa la bure.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 24:14
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Maagizo yako ni urizi mukubwa kwangu milele; hayo ni furaha ya moyo wangu.


Maneno mazuri ni kama asali. Ni matamu kwa nafsi na yenye kuupatia mwili afya.


Maana hekima itaingia ndani ya moyo wako, na maarifa yatapendeza nafsi yako.


Wewe utafurahi kama utayaweka ndani ya moyo, na kuyarudiliarudilia kila wakati.


Hakika siku nzuri zitafika na tumaini lako halitakuwa la bure.


Palepale maneno yako yaliponifikia, niliyameza; nayo yakanifurahisha, yakakuwa matamu katika moyo wangu, maana mimi ninajulikana kwa jina lako, ee Yawe wa majeshi.


Yesu akamujibu: “Ukitaka kuwa mutimilifu, kwenda uuzishe vitu unavyokuwa navyo, na uwape wamasikini mali zile, nawe utakuwa na akiba mbinguni. Kisha urudi, unifuate.”


Lakini mutu anayechunguza sheria kamilifu inayoweka watu huru na kuendelea kushikamana nayo, na si kuisikia tu na kisha kuisahau, lakini anaitimiza kabisa, mutu huyu atabarikiwa na Mungu katika shuguli zake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ