8 Utatapika vipande ulivyokula; shukrani zako zote zitakuwa za bure.
Mwovu anameza mali haramu na kuitapika; Mungu anaitoa ndani ya tumbo lake.
Usiseme maneno yako mbele ya mupumbafu, maana atazarau hekima ya maneno yako.
Unapopata asali, kula sehemu ya kukutoshelea, kusudi usishibe na kuitapika.
Hata wandugu zako, jamaa yako mwenyewe, nao vilevile wanakudaganya; wanakukaripia waziwazi. Usiwaamini hata kidogo, ingawa wanakuambia maneno mazuri.