Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 23:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 maana ndani ya moyo wake anahesabu unachokula. Atakuambia: “Kula, kunywa!” Lakini ndani ya moyo wake hayuko pamoja nawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 23:7
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Unisaidie, ee Yawe! Watu wema wamekwisha; waaminifu wametoweka kati ya watu.


Mwenzangu amemushambulia rafiki yake, amevunja mapatano yake.


Kitu kinachotakiwa kwa mutu ni uaminifu; afazali mutu masikini kuliko mutu mwongo.


Kama vile rangi yenye kungaa iliyopakwa juu ya chungu cha udongo, ndivyo maneno matamu yenye nia mbaya yanavyokuwa.


Mwenye chuki anaficha chuki yake kwa maneno mazuri, lakini uovu unajaa ndani ya moyo wake.


Akisema maneno mazuri usimwaminie. Ndani ya moyo wake kuna machukizo mengi.


Halafu wafalme hao wawili wataikaa kwa meza pamoja, lakini kila mumoja anamuwazia mwenzake uovu, na kudanganyana. Lakini hawatafanikiwa, maana wakati uliopangwa utakuwa bado haujatimia.


Yule Mufarisayo aliyemwalika Yesu alipoona vile, akajisemesha: “Kama mutu huyu angekuwa kweli nabii, angetambua mwanamuke huyu anayemugusa ni wa namna gani. Angetambua kwamba yeye ni mwenye mwenendo mubaya.”


Delila akamwambia Samusoni: “Unaweza namna gani kusema kwamba unanipenda na moyo wako hauko pamoja nami? Umenichekelea sasa mara tatu. Haujaniambia asili ya nguvu zako iko wapi.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ