2 Zuia sana hamu yako, ikiwa wewe unapenda sana kula.
Basi, Yakobo akakwenda kutwaa wana-mbuzi wawili na kuwaletea kwa mama yake. Naye akatayarisha chakula kitamu sawa vile baba yake Isaka alivyopenda.
Ukikaa kwa kula pamoja na mutawala, usisahau hata kidogo uko pamoja na nani.
Usikuwe mumoja kati ya walevi wa divai, wala walafi wenye kupenda nyama,
Lakini ninatesa mwili wangu kwa mazoezi makali na kuutumikisha vikali kusudi mimi mwenyewe nisikataliwe kisha kutangaza ujumbe kwa watu wengine.
Mwisho wao ni uharibifu, sababu mungu wao ni kushibisha tumbo zao. Wanajivuna kwa kufanya mambo ya kuwafezehesha. Nayo mafikiri yao ni juu ya vitu vya dunia hii.