Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 23:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 maana Mungu, Mukombozi wao, ni mwenye nguvu, naye atatetea haki yao nawe utaonekana kuwa na kosa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 23:11
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninajua wazi Mukombozi wangu anaishi. Kwa mwisho yeye atasimama hapahapa katika dunia.


Wao wanasema: “Kwa ndimi zetu tutashinda; tuko na midomo, nani anayeweza kututawala?”


Mungu anayekaa pahali pake patakatifu, ni Baba ya wayatima na mulinzi wa wajane.


Maana Yawe atawatetea; atagandamiza maisha ya wale wanaowagandamiza.


Tumia akili yako kwa kufuata mafundisho; tumia masikio yako kwa kusikiliza maarifa.


Kwa hiyo Yawe anasema hivi: Nitawatetea juu ya maneno yenu, na kulipiza kisasi kwa ajili yenu. Nitaikausha bahari ya Babeli na kuvifanya visima vyake vikauke.


“ ‘Alaaniwe mutu yeyote anayepotosha haki ya mugeni au yatima au mujane’. Na watu wote wataitika: ‘Amina!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ