Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 22:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Njia ya waovu imejaa miiba na mitego; anayetaka kulinda maisha yake ataiepuka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 22:5
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Miguu yake mwenyewe itamutia katika mutego; kila mara anatembea juu ya shimo.


Atawanyeshea waovu makaa ya moto na kiberiti; upepo mukali utakuwa ndio azabu yao.


Ukikaa chini ya ulinzi wa Mungu Mukubwa, ukiishi chini ya kivuli cha Mungu Mwenye Nguvu,


Kuwa na akili kunaleta ukubali, lakini njia ya waovu ni ya taabu.


Anayechunga kinywa chake analinda maisha yake, mwenye midomo mirefu anajiletea maangamizi.


Njia ya muvivu inajaa miiba, lakini njia ya mutu wa usawa ni wazi kama barabara kubwa.


Njia ya watu wa usawa ni kujiepusha na uovu; anayechunga njia yake anachunga maisha yake.


Anayeshika amri analinda maisha yake; anayezarau agizo atakufa.


Ukinyenyekea na kumwogopa Yawe, utapata zawadi ya fanaka, heshima, na uzima.


Mutu mubaya ananaswa kwa kosa lake, lakini mutu wa haki anaimba na kufurahi.


Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.


mujue kwa hakika kwamba Yawe, Mungu wenu, hataendelea kuyafukuza mataifa haya mbele yenu, lakini yatakuwa kwenu kikwazo na mutego. Yatakuwa kwenu mujeledi wa kuwapiga na miiba ya kuwachoma kwa macho mpaka pale mutakapoangamia na kutoka katika inchi hii nzuri ambayo Yawe, Mungu wenu, amewapa.


Tunajua kwamba kila mutoto wa Mungu hafanyi zambi, kwa maana Mwana wa Mungu anamulinda, wala yule Mwovu hawezi kumugusa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ