26 Usikuwe mumoja wa wale ambao wanajitoa rehani kwa madeni ya wengine.
Anayejitoa kulipia mugeni deni yake atajuta, lakini anayechukia mapatano yale ana usalama.
Mutu asiyekuwa na akili anajitoa rehani kwa deni ya mutu mwingine.
Mutu akiahidi mbele yako kubeba muzigo wa mutu mwingine, unyanganye nguo yake; utwae rehani kwake maana amebeba muzigo wa mutu mwingine.