25 Usijifunze mwenendo wake, na kujinasa kabisa katika mutego.
Lakini walichanganyika na watu wa mataifa, wakajifunza kutenda mambo yao.
Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.
Usijiingize katika njia ya waovu, wala usifuate mwenendo wa watu wabaya.
Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”
Muteketeze kwa moto sanamu za miungu yao. Musitamani feza wala zahabu yao, wala musiitwae na kuifanya mali yenu. Kufanya hivyo ni mutego kwenu na ni chukizo kwa Yawe, Mungu wenu.