Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 22:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Usinyanganye masikini mali yake kwa sababu ni masikini, wala usimunyime mukosefu haki yake katika tribinali.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 22:22
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nimepata kumukatalia masikini mahitaji yake au kuwafanya wajane watumaini bure?


Kama nimekunjia yatima ngumi katika tribinali nikijua nitapendelewa na waamuzi,


Usikuwe na upendeleo katika mashitaki ya masikini.


Usipotoshe haki masikini anayostahili katika mashitaki yake.


Ukali wa waovu utawaangamiza, maana wanakataa kutenda mambo ya haki.


Anayemutesa masikini kwa kujitajirisha na anayewapa watajiri zawadi, wote wawili wataishia kuwa wamasikini.


Wanakataa kusambisha wazaifu, wananyanganya watu wangu wamasikini haki yao. Wanateka wajane; wananyanganya wayatima mali yao.


Kila fasi katika inchi watu wanatendeana vibaya na kunyanganya kwa kinguvu. Wanagandamiza wamasikini na wakosefu, na kuwaonea wageni bila kujali.


Usimutese mwenzako wala kumwibia. Usikae na mushahara wa mutumishi wako usiku kucha mpaka asubui.


Musipunjane, lakini, mutamwogopa Mungu wenu. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.


Musiwatese wajane, wayatima, wageni au wamasikini; musipange kutendeana mabaya ndani ya mioyo yenu.


Yawe wa majeshi anasema: Kisha nitawakaribia kwa kuwahukumu. Sitasita kutoa ushuhuda juu ya wachawi, wazinzi, watoa ushuhuda wa uongo, wanaopunja mushahara wa watumishi, wanaowatesa wajane na wayatima, wanaozuia mugeni asipate haki yake na wale wasioniogopa mimi.


“Mutumwa akikimbilia kwako usimurudishe kwa bwana wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ